MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1568; Hakuna Tatizo Linaloanza Likiwa Kubwa…
Kila mmoja wetu amekuwa anakutana na matatizo mbalimbali kwenye maisha yake. Na matatizo mengi huanza kusumbua pale yanapokuwa makubwa. Lakini ukweli ni kwamba, hakuna tatizo linaloanza likiwa kubwa. Hakuna mtu anaamka siku moja na kujikuta kwenye deni la mamilioni. Hakuna tu anaamka siku moja na kujikuta ana uzito uliopitiliza. Na