1570; Mafanikio Huwa Yanajijengea Ukuta, Kazi Yako Ni Kuubomoa…

By | April 19, 2019
Kama umewahi kuangalia mchezo wowote, hasa mpira wa miguu, ambao una ushindani mkali, pale timu moja inapoifunga timu nyingine, ghafla mchezo unabadilika. Timu iliyofunga inapunguza kushambulia na kukazana kulinda zaidi ili isifungwe. Na timu inayokuwa imefungwa inakazana kushambulia zaidi ili kufunga. Hali hii husababisha moja kati ya mambo haya mawili,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz