MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1570; Mafanikio Huwa Yanajijengea Ukuta, Kazi Yako Ni Kuubomoa…
Kama umewahi kuangalia mchezo wowote, hasa mpira wa miguu, ambao una ushindani mkali, pale timu moja inapoifunga timu nyingine, ghafla mchezo unabadilika. Timu iliyofunga inapunguza kushambulia na kukazana kulinda zaidi ili isifungwe. Na timu inayokuwa imefungwa inakazana kushambulia zaidi ili kufunga. Hali hii husababisha moja kati ya mambo haya mawili,