1571; Elewa Tabia Hii Ya Watu Ambao Hawajafanikiwa Ili Isikukwamishe…

By | April 20, 2019
Watu ambao hawajafanikiwa wana tabia moja. Tabia hiyo ni kuyafanya mafanikio kuonekana kitu kibaya na wale waliofanikiwa kuonekana watu wabaya. Wale ambao hawajapata kile wanachotaka, wana tabia ya kuwadharau wale ambao wamepata, kwa kujiwekea mazingira ya kuonesha kwamba wale waliopata wanachotaka hawajapata kwa usahihi. Kuna wakati wataonesha kwamba wamepata kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz