MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1576; Unachouza Wewe Ni Furaha, Sahau Vingine Vyote…
Hitaji kuu la kila mtu ni furaha, hili ni hitaji la ndani kabisa la kila binadamu. Kila tunachofanya tunasukumwa na vitu viwili, kupata kile tunachotaka, ambacho ni furaha au kuepuka tusichotaka ambacho ni maumivu. Hakuna mtu mwenye akili timamu, anayefanya jambo la kumuumiza yeye mwenyewe kwa makusudi. Hata pale watu