MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1595; Kinachokukwamisha Ni Hujaamua Nini Hasa Unachotaka…
Kuna changamoto kubwa sana kwenye zama tunazoishi kwa sababu machaguo ni mengi mno. Watu walioishi kipindi cha nyuma, hawakuwa na machaguo mengi kama tuliyonayo sasa. Kazi au biashara zilikuwa ni chache na moja kwa moja watu walielekea kwenye kile wanachofanya na kuweka nguvu zao zote hapo. Lakini sasa hivi machaguo