MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1611; Kuwa Tayari Kuwaumiza Baadhi Ya Watu…
Unapochagua kuyaishi maisha yako, unapochagua kufanya kile ambacho ni muhimu zaidi kwako na kupuuza vitu vingine, kuna watu ambao utawaumiza. Kama haupo tayari kuona wengine wakiumia kwa maisha uliyochagua, nafasi yako ya kufanikiwa ni ndogo au haipo kabisa. Kama unataka kila mtu akubaliane na wewe au apende kile unachofanya, huwezi