1611; Kuwa Tayari Kuwaumiza Baadhi Ya Watu…

By | May 30, 2019
Unapochagua kuyaishi maisha yako, unapochagua kufanya kile ambacho ni muhimu zaidi kwako na kupuuza vitu vingine, kuna watu ambao utawaumiza. Kama haupo tayari kuona wengine wakiumia kwa maisha uliyochagua, nafasi yako ya kufanikiwa ni ndogo au haipo kabisa. Kama unataka kila mtu akubaliane na wewe au apende kile unachofanya, huwezi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz