1613; Mbio Za Kuelekea Kwenye Kushindwa…

By | June 1, 2019
Watu wengi wamedanganywa na kukubali kwamba ushindani ni kitu kizuri kwenye biashara na hata maisha kwa ujumla. Kwamba kadiri kunavyokuwa na watu wengi wanavyofanya kitu kinachofanana, ndivyo huduma zinakuwa bora na bei zinakuwa nzuri pia. Hiyo ni kweli, lakini pale ambapo wewe ni mteja au mtumiaji wa huduma ambazo zinatolewa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz