MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1614; Huu Ndiyo Unafiki Mkubwa Wa Watu Waliofanikiwa…
Siri ya kwanza ya mafanikio ni wewe kuwapenda wale waliofanikiwa. Huwezi kuwa tajiri kama unawachukia matajiri, kwa sababu akili yako itakuepusha na kila fursa ya kukufikisha kwenye utajiri, kwa sababu imani yako ni kwamba utajiri ni mbaya. Hivyo tunapaswa kuwapenda sana watu waliofanikiwa, na kusikiliza ushauri wao, kwa sababu wana