MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1616; Hatua Ya Kwanza Ya Kutatua Tatizo Lolote Unalokutana Nalo…
Hakuna mtu ambaye hakutani na matatizo kwenye maisha yake. Matatizo ni sehemu ya maisha ya kila mmoja wetu. Lakini wengi wanapoingia kwenye matatizo, huwa wanahamaki na kushindwa kujua wanatokaje kwenye matatizo hayo. Na hata wanapojaribu kuchukua hatua fulani, wanajikuta wakitengeneza matatizo makubwa zaidi. Hii ni kwa sababu wengi huwa wanakimbilia