MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1617; Tatizo Siyo Muda, Tatizo Ni Unafanya Nini Na Muda Ulionao…
Muda unazidi kuwa changamoto kwa wengi, mambo ya kufanya ni mengi na muda wa kufanya mambo hayo ni mchache. Hili limekuwa likileta msongo kwa wengi, ambao wanakazana kufanya kila wanachotaka kufanya, lakini wanashindwa kutokana na muda kutokutosha. Wengi wanabaki kulaumu muda na kujiambia kama wangepata muda wa kutosha basi wangeweza