1623; Uaminifu, Gharama Na Uharaka Wa Huduma…

By | June 11, 2019
Hivi ni vitu vitatu ambavyo vinachangia sana kwenye biashara kufanikiwa au kushindwa. Ukiweza kuvifanyia kazi vizuri vitu hivi vitatu kwenye biashara yako, utaweza kuikuza sana biashara yako na kufanikiwa. Kuna hali mbili inayohusisha vitu hivyo vitatu; Hali ya kwanza; uaminifu unakuwa juu, gharama za kuendesha biashara zinakuwa chini na huduma

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz