MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1624; Kazi, Huduma, Furaha…
Mafanikio siyo magumu kama wengi wanavyofikiri, mafanikio ni rahisi sana kama utachagua kuyaishi maisha yako. Mafanikio yanakuwa magumu kwa wengi kwa sababu wanajaribu kuwa watu ambao siyo, kwa kujilinganisha na watu wengine ambao hawawezi kuwa kama wao. Unapochagua kuwa wewe, unapochagua kuishi maisha yenye maana kwako, mafanikio ni kitu ambacho