MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1633; Kwa Nini Ameuliza Swali?
Watu wengi wamekuwa wanapoteza fursa nzuri sana pale ambapo wanakimbilia kujibu swali ambalo wameulizwa kabla hawajafikiria kwa nini swali hilo limeulizwa. Kwenye kitabu nilichokuwa nasoma, nilikutana na kisa cha mtu aliyekuwa anauza kampuni yake, na waliotaka kununua wakamuuliza kwa nini unauza kampuni yako? Na yeye akajibu kwamba anataka kupata muda