1638; Wakati Sahihi Wa Kusimamia Misingi Na Maadili Yako…

By | June 26, 2019
Huwezi kufanikiwa kama huna misingi na maadili unayoyasimamia kwenye maisha yako, kazi zako na hata biashara ambazo unafanya. Lakini pia unapokuwa na misingi hii, mambo hayatakuwa rahisi. Dunia inapojua kwamba kuna misingi unaiishi na kuisimamia, huwa inakupa majaribu kwenye misingi hiyo. Inakuletea njia na fursa za kunufaika zaidi, kama tu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz