MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1638; Wakati Sahihi Wa Kusimamia Misingi Na Maadili Yako…
Huwezi kufanikiwa kama huna misingi na maadili unayoyasimamia kwenye maisha yako, kazi zako na hata biashara ambazo unafanya. Lakini pia unapokuwa na misingi hii, mambo hayatakuwa rahisi. Dunia inapojua kwamba kuna misingi unaiishi na kuisimamia, huwa inakupa majaribu kwenye misingi hiyo. Inakuletea njia na fursa za kunufaika zaidi, kama tu