1644; Njia Moja Ya Kujiongezea Bahati…

By | July 2, 2019
Watu wanapenda sana kuhusisha mafanikio na bahati. Kwamba wale waliofanikiwa wana bahati fulani ambayo wale ambao hawajafanikiwa hawana. Nimekuwa nakuambia mara kwa mara kwamba bahati ni pale maandalizi yanapokutana na fursa. Wakati unaona kwa nje mtu kakutana na fursa nzuri na kuitumia kufanikiwa, ambacho huoni ni maandalizi ambayo mtu huyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz