MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1645; Kila Kitu Na Sehemu Yake…
Kuna sehemu ya kila kitu na kila kitu kina sehemu yake. Huu ni msingi mmoja ambao ukiishi utaweza kufanya makubwa sana kwenye maisha yako. Kwa sababu kikwazo kwa wengi kupiga hatua ni kukosa msimamo kwenye yale wanayofanya. Mtu anapanga kufanya kitu fulani, lakini unapofika wakati wa kufanya anaahirisha na kujiambia