1645; Kila Kitu Na Sehemu Yake…

By | July 3, 2019
Kuna sehemu ya kila kitu na kila kitu kina sehemu yake. Huu ni msingi mmoja ambao ukiishi utaweza kufanya makubwa sana kwenye maisha yako. Kwa sababu kikwazo kwa wengi kupiga hatua ni kukosa msimamo kwenye yale wanayofanya. Mtu anapanga kufanya kitu fulani, lakini unapofika wakati wa kufanya anaahirisha na kujiambia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz