MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1651; Kama Una Kila Unachotaka Halafu Huna Furaha…
Basi sababu kubwa ni kwamba hujaanza kuyaishi maisha. Kuwa na kila unachotaka ni sentensi ngumu sana kuielewa. Kwa sababu kwenye jamii zetu ni wachache sana wanaojua ni nini hasa wanachotaka kwenye maisha yao. Na hii ni kwa sababu tangu tunazaliwa, tunakua mpaka tunakuwa watu wazima, wengi hawajawahi kupata nafasi ya