1656; Fanya Kazi Yako Na Iache Dunia Ifanye Kazi Yake…

By | July 14, 2019
Huwa tuna mipango mbalimbali tunayofanyia kazi kwenye maisha yetu, katika kufika kwenye mafanikio tunayotaka kufikia. Lakini mara nyingi tumekuwa tunajikwamisha wenyewe pale tunapolazimisha matokeo fulani yatokee kwa wakati ambao tunataka sisi. Yaani tunajipangia wenyewe hatua tutakazochukua na matokeo ambayo tunataka kuyapata kwa muda ambao tunapanga kupata matokeo hayo. Tunajituma kweli

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz