MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1656; Fanya Kazi Yako Na Iache Dunia Ifanye Kazi Yake…
Huwa tuna mipango mbalimbali tunayofanyia kazi kwenye maisha yetu, katika kufika kwenye mafanikio tunayotaka kufikia. Lakini mara nyingi tumekuwa tunajikwamisha wenyewe pale tunapolazimisha matokeo fulani yatokee kwa wakati ambao tunataka sisi. Yaani tunajipangia wenyewe hatua tutakazochukua na matokeo ambayo tunataka kuyapata kwa muda ambao tunapanga kupata matokeo hayo. Tunajituma kweli