1665; Hasira Ni Usumbufu…

By | July 23, 2019
Kitu kimoja unachopaswa kujua na kukizingatia kila siku ni kwamba hasira ni usumbufu. Unapokuwa na hasira, unahamisha umakini wako kutoka kwenye mambo muhimu na kuupeleka kwenye mambo ambayo siyo muhimu. Na wale ambao wanataka kunufaika na wewe kwa namna fulani au wanaotaka ukosee, huwa wanatumia mbinu ya kuamsha hasira zako,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz