MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1677; Kushindwa Kuwashawishi Wengine Ni Ubinafsi…
Kama una kitu ambacho unauza, au unafanya, au unajua na una uhakika na kuamini kwa asilimia 100 kwamba kitu hicho kina msaada kwa wengine, kinaweza kuwatoa pale walipo sasa na kuwapeleka mbali zaidi, basi ni jukumu lako kuwashawishi watu hapo mpaka wakubaliane na wewe kwenye kitu hicho. Japokuwa watu watakuwa