#TAFAKARI YA LEO; UKIMYA UNA NGUVU KUBWA…

By | August 5, 2019
“Silence is a lesson learned from the many sufferings of life.” —SENECA, THYESTES, 309 Shukrani ndiyo kitu pekee tunachoweza kutoa kwa nafasi hii nzuri tuliyoiona leo. Siyo kwa akili zetu, wala nguvu zetu, bali ni kwa bahati tu. Kuhakikisha tunaitumia vizuri nafasi hii ya leo, nafasi ambayo wapo wengine wangekuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz