MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1683; Usiwe Mwanzishaji Wa Vitu Hivi…
Upo usemi unaosema kwamba ukipigana na nguruwe, wote mtachafuka matope, wakati wewe itakuwa kadhia kwako, nguruwe atakuwa anafurahia hali hiyo. Maana rahisi ya usemi huu ni kwamba, mtu yeyote unayegombana, kubishana au kushindana naye, unajishusha kwenye viwango vyake. Na hata kama utashinda chochote unachopambana naye, kushiriki kwako kwenye mapambano yako