1683; Usiwe Mwanzishaji Wa Vitu Hivi…

By | August 10, 2019
Upo usemi unaosema kwamba ukipigana na nguruwe, wote mtachafuka matope, wakati wewe itakuwa kadhia kwako, nguruwe atakuwa anafurahia hali hiyo. Maana rahisi ya usemi huu ni kwamba, mtu yeyote unayegombana, kubishana au kushindana naye, unajishusha kwenye viwango vyake. Na hata kama utashinda chochote unachopambana naye, kushiriki kwako kwenye mapambano yako

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz