1688; Kuhusu Dunia Kutokuwa Na Huruma…

By | August 15, 2019
Kuna mambo huwa yanaweza kutokea, yanatufanya tujiulize kama kweli dunia ina huruma au inatujali sisi ambao tupo hapa duniani. Mambo hayo wakati mwingine yanatufanya kama kuna Mungu au nguvu kubwa inayoangalia mambo yanavyokwenda duniani na kwa nini iruhusu baadhi ya mambo kutokea, ambayo yanaonekana kabisa ni ya mateso kwa wasiostahili.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz