1696; Utafika Utakapofika…

By | August 23, 2019
Kuna mambo mengi tumekuwa tunafanya kwenye maisha yetu, ambayo siyo tu hayana manufaa, lakini pia yanapoteza muda wetu kwa kuvuruga utulivu wa ndani yetu. Mfano kuna mahali unakwenda, na unataka sana kuwahi, lakini njiani ukakutana na foleni ambayo ni ndefu na inakwenda taratibu sana. Hapo unaanza kupatwa na mawazo mengi,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz