MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1703; Siyo Kinacholipa Zaidi…
Huwa tunakuana na fursa mbalimbali kwenye maisha yetu. Ili kuchagua ni fursa ipi mtu utaifanyia kazi, watu wamekuwa na vigezo mbalimbali wanavyotumia. Na wengi hutumia kigezo cha malipo, huwa wanachagua ile fursa ambayo inawalipa zaidi, kitu ambacho siyo kibaya kwa sababu nani asiyependa fedha? Lakini katika kuchagua kile kinacholipa zaidi,