MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1705; Muhtasari Wa Biashara…
“Lengo la kuanzisha biashara ni kutengeneza na kuuza kitu ambacho watu wanakihitaji na kukiuza kwa faida na kisha kutumia faida hiyo kuajiri timu bora ambayo itatengeneza kilicho bora zaidi.” Huo ndiyo muhtasari wa biashara kwa sentensi moja. Chochote zaidi ya hapo ni kujisumbua tu. Sasa rudia hili na mimi, kwa