1707; Hakuna Biashara Mbaya…

By | September 3, 2019
Hakuna biashara mbaya, bali kuna wafanyabiashara wabaya. Hakuna uwekezaji mbaya, bali kuna wawekezaji wabaya. Hakuna mapenzi mabaya, bali kuna wapenzi wabaya. Hakuna uongozi mbaya, bali kuna viongozi wabaya. Tumezoea kulaumu hali kwamba ni mbaya, wakati hali hizo haziwezi kuwa na uzuri au ubaya, bali zinabeba kile ambacho kipo kwa mhusika

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz