MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1714; Kinachokukwamisha Kina Manufaa Kwako…
Huwa tunaweka malengo na mipango yetu ya mafanikio kutoa A mpaka Z. Na tunataka mipango hiyo iende kama tunavyopanga, kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Lakini tunajua vyema ya kwamba hakuna mtu yeyote ambaye amewahi kuwa na njia ya mafanikio ya aina hiyo. Kila mtu anakutana na vikwazo na changamoto nyingi kabla