1722; Ugumu Wa Biashara Yoyote Uko Eneo Hili Moja…

By | September 18, 2019
Watu huwa wanalalamika kwamba biashara ni ngumu, lakini wamekuwa hawajui kwa uhakika ugumu wa biashara hizo uko wapi na hivyo kushindwa kujua hatua sahihi za kuchukua ili kuvuka ugumu huo. Kwa kutokujua ugumu hasa ulipo, wengi wamekuwa wanashindwa kwenye biashara. Kutengeneza kitu ambacho unauza kwenye biashara yako siyo kugumu, ukishajua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz