MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1722; Ugumu Wa Biashara Yoyote Uko Eneo Hili Moja…
Watu huwa wanalalamika kwamba biashara ni ngumu, lakini wamekuwa hawajui kwa uhakika ugumu wa biashara hizo uko wapi na hivyo kushindwa kujua hatua sahihi za kuchukua ili kuvuka ugumu huo. Kwa kutokujua ugumu hasa ulipo, wengi wamekuwa wanashindwa kwenye biashara. Kutengeneza kitu ambacho unauza kwenye biashara yako siyo kugumu, ukishajua