1728; Samaki Hayajui Maji…

By | September 24, 2019
Upo usemi kwamba kama unataka kujua maji ni nini, basi usimuulize samaki. Ni usemi ambao unaweza kukushangaza, kwa sababu unajua samaki anaishi kwenye maji kila siku, sasa iweje asifae kuulizwa kuhusu maji? Na hiyo ndiyo sababu kwa nini usimuulize samaki kuhusu maji. Kwa sababu maji ndiyo ulimwengu wa samaki, hajawahi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz