MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1731; Njia Ya Mkato Ya Kufanikiwa…
Kuna sababu kwa nini huwa zinaitwa njia za mkato, na sababu yenyewe ni kwamba huwa hazifanyi kazi. Kama njia hizo zingekuwa zinafanya kazi basi zingekuwa ndiyo njia kuu, na siyo njia ya pembeni na ya mkato. Kwa sababu tunajua kila mtu anapenda mafanikio, na kama kuna njia rahisi ya uhakika