MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1744; Ni Haki Yako, Lakini Uhai Ni Muhimu Zaidi…
Chukua mfano uko barabarani, eneo la wavuka kwa miguu, hilo ni eneo kabisa ambalo limetengwa kwa ajili ya wanaotembea kwa miguu. Taa imewaka kuwaruhusu wanaotembea kwa miguu wavuke, na hivyo magari yasimame. Wewe unaanza kuvuka, ghafla inakuja gari na haisimami kama inavyopaswa, inaendelea kuja. Je hapo unafanya nini? Utaendelea kuvuka