1756; Vitu Vitatu Ninavyohitaji Kutoka Kwako Ili Tuweze Kwenda Pamoja…

By | October 22, 2019
Rafiki yangu mpendwa, Mimi kama kocha wako, kuna vitu vitatu ninavyohitaji kutoka kwako ili tuweze kwenda pamoja, ili ushirikiano wetu uweze kuwa na manufaa makubwa kwa kila mmoja wetu. Vitu hivi vitatu ndivyo vigezo ambavyo nimekuwa navitumia katika kuchagua watu wanaoweza kunufaika na huduma mbalimbali za ukocha ninazotoa. Kitu cha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz