MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1756; Vitu Vitatu Ninavyohitaji Kutoka Kwako Ili Tuweze Kwenda Pamoja…
Rafiki yangu mpendwa, Mimi kama kocha wako, kuna vitu vitatu ninavyohitaji kutoka kwako ili tuweze kwenda pamoja, ili ushirikiano wetu uweze kuwa na manufaa makubwa kwa kila mmoja wetu. Vitu hivi vitatu ndivyo vigezo ambavyo nimekuwa navitumia katika kuchagua watu wanaoweza kunufaika na huduma mbalimbali za ukocha ninazotoa. Kitu cha