1775; Kushindwa Ni Mara Moja, Majuto Ni Milele…

By | November 10, 2019
Hofu ndiyo kikwazo kwa wengi kuchukua hatua ambazo wanajua wanapaswa kuchukua ili kufanikiwa. Na moja ya hofu ambayo imekuwa kikwazo kwa wengi ni hofu ya kushindwa. Sote tunajua kwamba kama tunataka kufanikiwa tunapaswa kufanya kitu cha tofauti, tunapaswa kuchukua hatua ambazo hatujawahi kuchukua huko nyuma. Lakini hatua hizo za tofauti

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz