1784; Matendo Na Hisia…

By | November 19, 2019
Watoto na wanyama wanafanana kwa kitu kimoja, huwa wanachukua hatua kutokana na hisia ambazo wanazo kwa wakati huo. Ndiyo maana tunaweza kuwatega na kuwakamata wanyama. Pia ndiyo maana ni rahisi kuwalaghai watoto. Lakini watu wazima wanaofikiri kwa usahihi, huwa wanatenda na kisha kutengeneza hisia kutokana na matendo yao. Hawaanzi na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz