MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1786; Asili Ni Mwalimu Mzuri…
Nimekuwa nasema kama huna njia bora ya kujifunza kanuni za mafanikio, kama huna watu wazuri unaoweza kuwaiga na wakawa mamenta kwako, basi una mwalimu mzuri ambaye uko naye popote pale ulipo. Mwalimu huyo ni asili, huyu ni mwalimu mzuri sana kwako kujifunza kanuni za mafanikio, na ukiweza kuzifuata kama asili