1806; Ishi Kwa Misingi, Siyo Hisia…

By | December 11, 2019
Sisi binadamu ni viumbe wa hisia, huwa tunasukumwa kufanya maamuzi kwa hisia kabla ya kufikiri. Kufanya maamuzi kwa hisia ndiyo chanzo cha matatizo yote tunayopitia kama binadamu. Pamoja na kwamba tunapenda kufanya maamuzi yetu kwa kufikiri, hisia huwa zinatuingilia. Ni vigumu sana kupingana na hisia ukishakuwa katikati ya hisia. Hivyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz