MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; UNAHOFIA KUPOTEZA NINI?
“You are afraid of dying. But, come now, how is this life of yours anything but death?” —SENECA, MORAL LETTERS, 77.18 Hongera sana mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri ya leo. Ni nafasi bora na ya kipekee sana kwetu tumeipata leo, kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora