1821; Rahisi Na Sahihi…

By | December 26, 2019
Kwenye kila hali unayopitia au kukutana nayo kwenye maisha yako, unakuwa na machaguo mawili mbele yako. Chaguo la kwanza ni kitu rahisi kufanya, hili utaliona haraka. Ni kile ambacho kinakuwa rahisi kwako kufanya, hakikuumizi wala kukusumbua, ndiyo ambacho kila mtu anafanya. Lakini kilicho rahisi kufanya, mara nyingi huwa kinazalisha matatizo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz