MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1828; Kilicho Dhaifu Hakitayaona Mafanikio…
Ipo kauli kwenye Biblia kwamba kilicho dhaifu hakitauona ufalme wa mbinguni. Kauli hii imepewa msisitizo zaidi na mwanabaiolojia Charles Darwin aliyeweza kujionea maisha ya viumbe mbalimbali na kugundua kwamba, viumbe dhaifu huwa hawaishi muda mrefu. Aliona kwamba kwenye mazingira yoyote yale kuna ushindani, na katika ushindani huo, viumbe dhaifu ndiyo