1828; Kilicho Dhaifu Hakitayaona Mafanikio…

By | January 2, 2020
Ipo kauli kwenye Biblia kwamba kilicho dhaifu hakitauona ufalme wa mbinguni. Kauli hii imepewa msisitizo zaidi na mwanabaiolojia Charles Darwin aliyeweza kujionea maisha ya viumbe mbalimbali na kugundua kwamba, viumbe dhaifu huwa hawaishi muda mrefu. Aliona kwamba kwenye mazingira yoyote yale kuna ushindani, na katika ushindani huo, viumbe dhaifu ndiyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz