1846; Tatizo Na Fedha…

By | January 20, 2020
Fedha siyo kila kitu, lakini inahusika karibu kwenye kila kitu kwenye maisha yetu, hivyo kujitenga na fedha ni vigumu sana, hasa kwa maisha ambayo tumeshayazoea. Kitu ambacho kinatupeleka kwenye msingi muhimu wa kuzingatia inapokuja kwenye matatizo na fedha. Kama una tatizo ambazo fedha inaweza kutatua basi huna tatizo, bali tatizo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz