#TAFAKARI YA USIKU; MAISHA HAYANA GHARAMA, ILA MAONESHO SASA…

By | January 25, 2020
“Living doesn’t cost much, but showing off does.” – Jeffrey D. Sachs Maisha ya kawaida hayana gharama kubwa, Mtu yeyote anaweza kumudu gharama za msingi kabisa za maisha. Kinachotutesa ni maigizo, kutaka kuiga wengine na kuonekana na wewe upo. Hapo ndipo unapojikuta kwenye madeni mazito, kwa sababu tu unataka na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz