MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1880; Anza Na Akili, Kisha Nguvu…
Kwa kutumia akili peke yake au nguvu peke yake, unaweza kufika asilimia 90 ya mafanikio yako. Lakini ukitumia vyote kwa pamoja, yaani akili na nguvu, unafika kwenye asilimia 99 ya mafanikio yako. Utawasikia wengi wakisema usitumie nguvu, tumia akili, lakini hawa siyo wale wanaofikia mafanikio makubwa, wanaweza kuwa na mafanikio