1902; Kuishi Maisha Marefu…

By | March 16, 2020
Kinachotuponza tusiyafurahie maisha yetu ni kujidanganya sisi wenyewe. Tumekuwa tunajidanganya kwenye mambo mengi, ambayo kama tusingefanya hivyo, tungepata nafasi ya kuyaishi maisha yetu vizuri na kuyafurahia. Moja ya maeneo ambayo tumekuwa tunajidanganya ni kwenye urefu wa maisha, huwa tunajiambia tunataka kuishi maisha marefu. Tunahangaika na mambo mengi ya kurefusha maisha.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz