#TAFAKARI YA ASUBUHI; WAPE WENGINE, LAKINI USIJIPE WEWE…

By | March 18, 2020
“Forgive other people for many things, but do not forgive yourself anything.” —PUBLILIUS SYRUS Kama kuna urahisi wowote unaoweza kuutoa kwenye maisha, basi wape watu wengine urahisi huo, ila usijipe wewe mwenyewe. Wasamehe wengine kwa makosa wanayofanya, lakini usijisamehe mwenyewe mpaka pale umerekebisha ulichokosea. Waruhusu wengine wajipe sababu ya kutokufanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz