1931; Kama Huna Unachofia, Huna Unachoishi…

By | April 14, 2020
Kama hakuna kitu ambacho uko tayari kufa kuliko kukisaliti, basi pia huna kitu ambacho kinakusukuma kuwa na maisha bora hapa duniani. Kwa kifupi, huna maisha, na kama huna maisha, tofauti yako wewe na wanyama wengine kama mbuzi ni ndogo sana. Maana utazaliwa, utazurura zurura hapa duniani, kisha utakufa, utazikwa na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz