#TAFAKARI YA ASUBUHI; BORESHA IMANI YAKO…

By | April 17, 2020
“If you want to be quiet and strong, work and improve your faith.” – Leo Tolstoy Maisha hayajawahi kuwa nyoofu, Japo unapanga nini unataka, Na kuweka hatua za kuchukua ili kupata unachotaka, Na kufanyia kazi hatua hizo kama unavyopaswa, Siyo mara zote utapata unachotaka, Na hapo ndipo jaribu kuu. Wengi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz