1935; Kosa Moja Halikuzuii Kufanikiwa, Bali Tabia Inayojengeka…

By | April 18, 2020
Kushinda au kushindwa kwenye maisha ni matokeo ya msimamo wa kile ambacho mtu anafanya kwenye maisha yako. Mfano kama mtu anafanya mazoezi kila siku bila kuacha, lazima atakuwa na afya bora. Kama mtu anaweka akiba kwenye kila kipato bila kuacha, na kisha kuwekeza aiba hiyo bila kuitumia, lazima atafikia utajiri

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz