1962; Kusema Na Kuhukumu…

By | May 15, 2020
Ukitaka kuwa na maisha tulivu, usiseme kila unachojua na usihukumu kila unachoona. Ni asili yetu binadamu kusema kila tunachojua na hili limekuwa linatuingiza kwenye matatizo makubwa. Hasa pale unaposema kwa wale ambao hawapo tayari kupokea kile ambacho umewaambia, au wale ambao hawawezi kuking’amua. Hivyo kabla hujasema kila unachojua, jiulize kama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz