#TuvukePamoja; MUDA WA UPWEKE NA UTULIVU

By | May 21, 2020
Kwenye changamoto tunayopitia na hata nyingine nyingi, Ni rahisi sana kila wakati kuwa imetingwa na mambo mbalimbali. Yaweza kuwa kazi zako mwenyewe, Inaweza kuwa taarifa mbalimbali za yale yanayoendelea, Au kwa kuwa na muda mwingi, unajikuta unamaliza wote kwa kuzurura mitandaoni au kuangalia tamthilia na maigizo mbalimbali. Kitu ambacho tunakikwepa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TUVUKE PAMOJA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz